Saturday 4 October 2014

AMKA KIJANA

ELIMU ZAIDI...JUU YA UCHUMBA NA KIJANA...... a) usitumie ufundi wako kudanganya watoto wa watu kigezo cha kuwaoa..yakobo3:6 b)uchumba si majaribio Mith 18:24 c)usiharakishe ndoa chunguzana na huyo utakaye muoa Luka14:28-30 d)chagua mke wa iman yako coz wewe ni mwana wa Munf,si wa mataifa 1falme 11- e)uchumba si uzinzi jamani tuache kufuatisha namna ya dunia hii Mith 6:32.Mtu yeyote aziniye si kwamba hana akili tu bali hajui uzinzi huonda ufahamu By kabelege jr

No comments:

Post a Comment