Thursday 27 November 2014

HISTORIA YA MAISHA YA BAHATI BUKUKU

ALIPOANZA SHULE YA MSINGI RUNGWE
BAHATI BUKUKU MWAKA 1988, RUNGWE, MBEYA 
 



“Lusako amka...Lusako amka, niliisikia sauti ya baba yangu, mzee John Bukuku akiniamsha asubuhi sana tofauti na siku nyingine. “Lusako ni jina langu lingine ambalo kwetu lina maana ya ‘ngekewa’ au ‘bahati’. “Siku ile baba alinitaka niamke kwa ajili ya kujiandaa na kwenda kuanza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi iitwayo Muungano iliyopo Ilolo, Mbeya. “Nilikurupuka kutoka kitandani, nilikuwa mdogo mno, miaka saba tu. Baada ya kuisikia sauti ya baba yangu, nikaamka na kutoka nje. “Naikumbuka siku hii vilivyo kwa sababu ndiyo ilikuwa siku niliyokuwa nikiisubiria kwa hamu kubwa. “Kila siku nilikuwa nikiwaona watoto wenzangu wakienda shule, walivalia sare zao za shule huku wakiwa na madaftari. Nilitamani sana kuwa kama wao. Nilitamani nami siku moja nibebe madaftari yangu, nivae sare za shule na kuelekea shuleni kusoma.

 “Ukiachana na watoto hao waliokuwa wakipita nyumbani kuelekea kwetu shuleni, dada yangu aliyeitwa Selina alikuwa akiniambia mambo mengi kuhusu shule, hasa kunywa uji mwingi wenye sukari, nami nikajikuta nikianza kutamani kusoma. “Kila nilipokuwa nikikaa, nilitamani siku ifike na mimi nivae sare za shule na kuelekea shuleni. Siku niliziona haziendi, kiu kubwa ya kutamani kusoma ilinishika. “Kila nilipokuwa nikimsikilizia baba kuona kama alikuwa akitaka kunipeleka shule, hakuwa akifanya hivyo. Niliumia sana moyoni. “Siku hiyo ambayo baba alikuwa ameniamsha. Nilijiandaa tayari kwa kwenda shule kwani niliamini kwamba siku hiyo ndiyo ingekuwa siku ya kwanza kwangu kuanza masomo shuleni. “Nikajiandaa huku mama akinivaliasha nguo safi, baba akanishika mkono na kuanza kwenda shule. “Njia nzima, nilijisikia furaha isiyo kifani, kitendo cha kupelekwa shule siku hiyo kilinifanya kujisikia mtu wa tofauti sana, furaha ilinizidi hadi nikaona tulikuwa tukichelewa kufika shule.

 Nilitaka na mimi nikae darasani na kuanza kusoma. “Kwa sababu shule haikuwa mbali sana, tulichukua dakika chache tukafika. Sikuwa peke yangu, bali kulikuwa na watoto wengi ambao waliletwa shuleni hapo na wazazi wao kwa ajili ya kuanza darasa la kwanza katika shule hiyo ya Muungano iliyokuwa mita mia moja na ishirini kutoka nyumbani kwetu. “Kila mtoto aliyeletwa shuleni hapo alionekana kuwa na furaha, kitendo cha kuitwa kwa ajili ya kuanza masomo kilimfurahisha kila mmoja na kuamini kwamba ilikuwa ni lazima tuanze masomo ili na sisi tuanze kuvaa sare na hata kunywa uji kila tufikapo shuleni hapo.


 “Staili ya zamani ya kuchagua wanafunzi wa kujiunga na darasa la kwanza ilikuwa tofauti. Watoto wote walioletwa shuleni hapo, walitakiwa kusimama na kuupitisha mkono wao kichwani ili kushika sikio la upande wa pili. “Endapo mtoto angeweza kushika sikio, basi alikuwa amefaulu kuanza darasa la kwanza lakini kama alifeli, basi hakutakiwa kuanza shule. “Baada ya kuona baadhi ya watoto wenzangu wameshindwa kulishika sikio, nikahofia kwa kuona kwamba hata mimi pia ningeshindwa, hivyo nikaanza kujipa mazoezi, kila nilipopitisha mkono, nilishindwa kulishika sikio langu. “Hapo, tayari nikaona kwamba ningeshindwa kuanza masomo yangu, nilichokifanya ni kung’ang’ania kutaka kulishika sikio lile ili ikiwezekana, nilishike tu kisha nimfuate mwalimu huku mkono wangu ukiwa sikioni. “Bahati mbaya nilishindwa kufanya hivyo. “Zamu yangu ilipofika, nikaambiwa niupitishe mkono wangu kichwani na kulishika sikio la upande wa pili, nikashindwa na hivyo mwalimu kusema kwamba sikutakiwa kuanza darasa la kwanza.Nilitakiwa nirudi nyumbani hadi mwaka unaofuata.


HISTORIA YA MAISHA YA BAHATI BUKUKU (Sehemu ya 2)
 Bahati Bukuku. Nilipenda kwenda shule kusoma, na hii ilikuwa njia mojawapo ya kuepuka kufanya kazi za nyumbani, hasa kuosha vyombo kitu nilichokuwa nikikichukia mno. Japokuwa nilikuwa mtoto mdogo lakini mama alijitahidi sana kuniweka katika mazingira ambayo mtoto wa kike anatakiwa kuwa. Achukia kuosha vyombo Kila siku alikuwa akinitaka nioshe vyombo, hii ilikuwa kazi pekee niliyokuwa nikiichukia mno. Kila nilipokuwa nikirudi nyumbani, mama alikuwa akinipa maziwa na kiporo cha jana, nikimaliza kula, alikuwa akiniambia nioshe vyombo nilivyovitumia. Nilikereka mno lakini sikuwa na jinsi, nilibaki nikilalamikalalamika lakini mwisho wa siku niliosha vyombo mbele yake huku akionekana kuwa na furaha.
 AWA KIONGOZI WA KUIMBA 
Ijulikane kwamba kuimba ni kipaji nilichozaliwa nacho. Nakumbuka kipindi hicho mimi ndiye nilikuwa kiongozi wa nyimbo mbalimbali tulizokuwa tukiimba shuleni. Sauti yangu haikuwa nzuri, ilikuwa ni ya kukoroma sana lakini kila nilipokuwa nikiimba walimu waliipenda na ilikuwa ni lazima ujue kwamba ‘huyo anayeimba ni Lusako’.
 AANZA DARASA LA KWANZA 
Baada ya kusoma shule ya chekechea kwa miaka miwili, mwaka 1990 nilitakiwa kwenda kuanza darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Muungano ambayo haikuwa mbali kutoka tulipokuwa tukiishi. Kama kawaida yangu, siku hiyo niliamka asubuhi sana huku nikiwa na hamu ya kuanza darasa la kwanza. Moyo wangu haukuweza kusahau, bado niliendelea kukumbuka miaka miwili iliyopita ambapo nilishindwa kulishika sikio langu la upande wa kushoto kwa kutumia mkono wangu wa kulia kwa kuupitisha kichwani. Kwanza kabla ya yote, hapohapo nyumbani, nikajaribu kulishika sikio langu, nikafanikiwa. 
ACHEKELEA KUJIUNGA NA SHULE YA MSINGI 
Naweza kusema kwamba katika mwaka huo, siku hiyo ndiyo nilikuwa na furaha kupita kawaida. Nilipenda sana shule, kila nilipokuwa nikiwaona wanafunzi wakipita nyumbani huku wakiwa wamevalia sare zao za shule, niliona wivu moyoni. Leo hii na mimi nilitakiwa kwenda kuanza darasa la kwanza! Asubuhi ya siku hiyo, mama akaniletea sketi na shati huku chini nikivalia soksi za pundamilia. Sikuwa na sare za shule hivyo siku hiyo nilivalia nguo za nyumbani ila miguuni nilikuwa na soksi hizo za pundamilia. Baada ya kutembea kwa umbali mdogo, nikaelekea shuleni huku nikiongozana na baba, mzee Bukuku. Watoto waliokuja kuanza shule walikuwa wengi na zoezi lilikuwa lilelile la miaka yote, kushika sikio lako. Wapo walioshindwa ambao walilia kama nilivyofanya miaka miwili iliyopita lakini pia walikuwepo wale waliofaulu na kutakiwa kujiunga na shule hiyo kwa ajili ya kuanza na elimu ya msingi huku nikiwa nimeandikishwa jina jingine na kuitwa Bahati. 
AANZA MASOMO
 Niliipenda masomo, niliipenda shule kwa jinsi majengo yake yalivyokuwa. Yalipendeza na kuvutia sana. Siku hiyohiyo ambayo baba alikuwa amenipeleka shuleni hapo, tukaingizwa darasani na kupangwa, siku iliyofuata, tukaanza masomo huku tukiwa watoto zaidi ya arobaini katika darasa moja. Kila mmoja alionekana kuwa na furaha kama nilivyokuwa. Hakukuwa na utulivu, kila wakati wanafunzi walikuwa wakipiga kelele, nadhani kwa walimu au kwa watu waliokuwa katika mitaa yenye watoto wengi watakuwa wanalitambua hili, jinsi watoto wanavyopiga kelele zenye kuleta kero.
 AONGOZA KWA UTUNDU
 Kati ya wanafunzi wote waliokuwa darasani, mimi ndiye nilionekana kuwa mtundu. Kwanza sikutulia sehemu moja, nilionekana kama mtu aliyekuwa akitafuta kitu fulani, muda huu unaweza kuniona hapa na baadaye kuniona kule. 
UTUNDU WAMPA UMONITA
 Kutokana na utundu wangu wa muda mfupi, hata mwalimu wa darasa hilo aitwaye Rugemilila alipoingia darasani, akanichagua niwe ‘monita’ yaani kiongozi wa darasa lile. Maisha ya nyumbani yaliendelea kuwa vilevile kwamba kila nilipokuwa nikirudi na kula chakula, mama alinitaka nioshe vyombo. Bado mama alinifundisha mambo mengi huku akitamani sana niwe kama wasichana wengine, nadhani mbele ya maisha yangu aliyaona kwani kwa kile alichokuwa akikitaka ndicho kimeweza kunisaidia sana kipindi hiki.
 AKAMUA NG’OMBE MAZIWA
 Kazi zote za nyumbani ambazo alikuwa akizifanya mama, ilikuwa ni lazima na mimi nizifanye. Siku ambayo sikuwa nikienda shule, ilikuwa ni lazima nipike japo chai na kufanya usafi nyumbani hapo huku nikisaidiana naye. Nyumbani kulikuwa na ng’ombe, kila siku, hata kabla ya kwenda shule ilikuwa ni lazima niamke asubuhi sana, nikamue maziwa na kisha mtu ambaye alikuwa akihusika kwa ajili ya kwenda kuwachunga akiwatoa zizini na kwenda nao machungoni.
 ACHUNGA NG’OMBE
 Hayo ndiyo yalikuwa maisha yangu ya kila siku. Siku ambazo sikuwa nikielekea shuleni, pia nilikuwa nikichukuliwa na kupelekwa machungoni. Nilichukia kazi nyingine lakini hii ya kuwapeleka ng’ombe machungoni niliipenda kwa sababu ilinipa nafasi ya kuondoka nyumbani hapo kwenda kuzurura na ng’ombe hao.
 AUZA CHIPSI
 Kutokana na utundu niliokuwa nao na ujanja wa hapa na pale, mwalimu wangu wa darasa akanichagua niuze chipsi zake. Wanafunzi wengi walikuwa wakiitamani kazi hii kwani walijua fika kwamba mara unapouza na nyingine kubaki, walimu huwa na kawaida ya kukupa mfuko mmoja ule.
Chanzo-globalpublishers


MPANGO WA MUNGU KWA KIJANA

YA MUHIMU SANA HII USIIPITE BILA KUISOMA WENGI WASIKIE NENO HILI

hii status nimepata shida sana kuiapload....kila nikiiweka inagoma mara ikikubali yanatokea ya kutokea.....LAKINI NAIWEKA TENA SIACHI................

Unajua MUNGU ni wa pekee hakuna anayefanana nae AKILI ZAKE HEKIMA UFAHAMU WAKE kamwe hauchunguziki.......ni nani anaweza kuwa MSHAURI WA MUNGU??? HAKUNA maana gari haliwezi kumshauri aliyeliunda...............sasaaaa

MAISHA ya hapa dunia yana PROTOCAL/MFUMO ambao upo in hierachy order kuanzia chini mpaka juu.........BWANA MUNGU aliumba MBINGU na NCHI......kisha akaumba vyoote kama MWANZO  1 Inavoeleza baada ya kukamilisha uumbaji wa vyote ndipo MTU/ADAMU akaumbwa..........lakini BWANA akatengeneza BUSTANI nzuuuri ndani yake kulikuwa na mimea aina zote pia kulikuwa na MTO ambao uligawanyika sehemu 4 na sehemu moja ya mto ilijaa DHAHABU SAFI..........kisha BWANA akamtwaa ADAMU akamuweka ndani ya EDEN lakini hakumuweka akae tu AKAMPA KAZI.........Akapewa jembe tena la mkono sio trekta AILIME NA KUITUNZA EDEN.....Adam akaanza kazi ya kulima....ikawa BWANA akawa anaenda asubuhi na jion anaenda KUMSALIMIA na KUPIGA NAE STORY za hapa na pale.......sasa alipoenda jion na kumuona alivyochoka ndipo akaona SI VYEMA MTU HUYU AKAE PEKE YAKE ndipo hapo MWANAMKE(EVA/HAWA) AKALETWA KWA ADAMU...........huu ndiyo mfumo MUNGU aliuweka 
1. MUNGU
2.BUSTANI
3.MTO
4. KAZI~>DHAHABU
5.MKE/WIFE

tafsiri yake MWANAUME anatakiwa kwanza AMJUE MUNGU vya kutosha mbili apate ujuzi/means of production/MTO kisha BUSTANI(eneo la kazi) kisha afanye kazi itakayompa fedha/dhahabu ndipo baadae AOE/APATE MKE.........saasa WATU Wameona wana akili kuliko MUNGU wamegeuza mambo siku hizi mtoto ana miaka 14 yupo darasa la saba kishaanza MAHUSIANO na watoto wa kike aaaaaaaahhhh LAANA HII.............SEKONDARI ndiyo usiseme watoto wapo form two wameshazaa watoto  jamani.........MWANAFUNZI upo shule kwanza huna hata muda mzuri wa KUMTAFUTA MUNGU huna chanzo cha kipato huna kazi sasa MWANAMKE WA NINI hapo kama sio kutafuta kuongozwa na shetani.........labda hujui SHETANI AMEKUWA Mwamuzi wa maisha ya watu anachezesha maisha yao anaamua mpira upigwe kuelekea wapi TUNDA LA ROHO wema. fadhila. upole. unyenyekevu. kumcha MUNGU .ibada kwake mpira unatengwa ipigwe adhabu yaani hyo ni FAUL. OFFSIDE YELLOW CARD.....Haruhusu watu wayatende hayo. sheria zake ni UONGO. MASENGENYO.KIBURI.UCHAFU.MATUSI.WIZI. UZINZI NA UASHERATI.....hapo anakureward jamani WATU WENGI WANACHEZA MECHI HII SHETANI ANAYOIAMUA..........

Kuharibu protocal ya MUNGU kumeharibu watu yaani siku hizi MTU ANAFUNGA NDOA TAARI ANA WATOTO WA3 aaaaah hii ndoa gani hii yaani watoto ndo mamaids kwenye harusi ya wazazi wao LAANA HII........

WATOTO wanaozaliwa kabla ya NDOA ni WATOTO WALIOPATIKANA KWA UZINZI!!!!!!!! wooote......ni watoto wa uzinzi na uasherati ndiyo maana roho ya uzinzi imetanda ndani ya watu............PRINCIPLE YA BWANA IMEVUNJWA HAPA............Najua wengi sana hii inawahusu nikiwemo mimi.......lakini BWANA ANASEMA MTOTO HATABEBA DHAMBI YA BABA YAKE AU MAMA YAKE wala MZAZI hatabeba dhambi ya mwanae UNA NAFASI KAMA MTOTO YA KUTENGENEZA NA MUNGU ILI UTAKASWE kwa maana KWA YESU tumefanyika WANA WA MUNGU kazi yetu ni kujiconnect na hii NEEMA ILI TUWE WANA WA MUNGU KWELIKWELI WATAKATIFU KAMA BABA YETU ALIVYO MTAKATIFU.............Hii ni neema imekukuta hapo ulipo TATIZO WATU WANAJIFANYA KUPOTEZEA wakati wanajua kabisa........
 MAMBO YA MUNGU YANAYOJULIKANA yamekuwa DHAHIRI ndani yetu sote maana MUNGU AMETUDHIHIRISHIA na yale yasiyojulikana tangu kuumbwa kwa ulimwengu YANAFAHAMIKA  NA KUONEKANA kwa kazi zake YAANI UWEZA WA MUNGU WA MILELE NA UUNGU WAKE.........sasa hapo huna udhuru wala huna cha kujitetea MUABUDU MUNGU NA KUMSHUKURU KWA KUWA UNAMJUA TAYARI au upotee katika uzushi wako na MOYO WAKO ULIOJAA UJINGA na kutiwa giza na SHETANI..............JESUS CALLS U uliyerudi nyuma ktk WOKOVU RUDI ZIZINI nawe uliye nje bado INGIA SASA its ur time to make with JESUS maana HATA MATEKA HALALI WA SHETANI ANAWEZA KUOKOLEWA its only u to decide......MEDITATE IN THE WORD OF GOD DAY AND NIGHT and whatever ur doing shall PROSPER.........GOD BLESS YOU

says~ANSEL@1991~
~CAG-PCC SEGEREA~
with acknowlegment to 
pastor CHRISS from KENYA
prophet T.P JOSHUA
pastor JENIPHER

 says~ANSEL@1991~
~CAG-PCC SEGEREA~
with acknowlegment to
pastor CHRISS from KENYA
prophet T.P JOSHUA
pastor JENIPHER


YA MUHIMU SANA HII USIIPITE BILA KUISOMA WENGI WASIKIE NENO HILI
hii status nimepata shida sana kuiapload....kila nikiiweka inagoma mara ikikubali yanatokea ya kutokea.....LAKINI NAIWEKA TENA SIACHI................
Unajua MUNGU ni wa pekee hakuna anayefanana nae AKILI ZAKE HEKIMA UFAHAMU WAKE kamwe hauchunguziki.......ni nani anaweza kuwa MSHAURI WA MUNGU??? HAKUNA maana gari haliwezi kumshauri aliyeliunda...............sasaaaa
MAISHA ya hapa dunia yana PROTOCAL/MFUMO ambao upo in hierachy order kuanzia chini mpaka juu.........BWANA MUNGU aliumba MBINGU na NCHI......kisha akaumba vyoote kama MWANZO 1 Inavoeleza baada ya kukamilisha uumbaji wa vyote ndipo MTU/ADAMU akaumbwa..........lakini BWANA akatengeneza BUSTANI nzuuuri ndani yake kulikuwa na mimea aina zote pia kulikuwa na MTO ambao uligawanyika sehemu 4 na sehemu moja ya mto ilijaa DHAHABU SAFI..........kisha BWANA akamtwaa ADAMU akamuweka ndani ya EDEN lakini hakumuweka akae tu AKAMPA KAZI.........Akapewa jembe tena la mkono sio trekta AILIME NA KUITUNZA EDEN.....Adam akaanza kazi ya kulima....ikawa BWANA akawa anaenda asubuhi na jion anaenda KUMSALIMIA na KUPIGA NAE STORY za hapa na pale.......sasa alipoenda jion na kumuona alivyochoka ndipo akaona SI VYEMA MTU HUYU AKAE PEKE YAKE ndipo hapo MWANAMKE(EVA/HAWA) AKALETWA KWA ADAMU...........huu ndiyo mfumo MUNGU aliuweka
1. MUNGU
2.BUSTANI
3.MTO
4. KAZI~>DHAHABU
5.MKE/WIFE
tafsiri yake MWANAUME anatakiwa kwanza AMJUE MUNGU vya kutosha mbili apate ujuzi/means of production/MTO kisha BUSTANI(eneo la kazi) kisha afanye kazi itakayompa fedha/dhahabu ndipo baadae AOE/APATE MKE.........saasa WATU Wameona wana akili kuliko MUNGU wamegeuza mambo siku hizi mtoto ana miaka 14 yupo darasa la saba kishaanza MAHUSIANO na watoto wa kike aaaaaaaahhhh LAANA HII.............SEKONDARI ndiyo usiseme watoto wapo form two wameshazaa watoto jamani.........MWANAFUNZI upo shule kwanza huna hata muda mzuri wa KUMTAFUTA MUNGU huna chanzo cha kipato huna kazi sasa MWANAMKE WA NINI hapo kama sio kutafuta kuongozwa na shetani.........labda hujui SHETANI AMEKUWA Mwamuzi wa maisha ya watu anachezesha maisha yao anaamua mpira upigwe kuelekea wapi TUNDA LA ROHO wema. fadhila. upole. unyenyekevu. kumcha MUNGU .ibada kwake mpira unatengwa ipigwe adhabu yaani hyo ni FAUL. OFFSIDE YELLOW CARD.....Haruhusu watu wayatende hayo. sheria zake ni UONGO. MASENGENYO.KIBURI.UCHAFU.MATUSI.WIZI. UZINZI NA UASHERATI.....hapo anakureward jamani WATU WENGI WANACHEZA MECHI HII SHETANI ANAYOIAMUA..........
Kuharibu protocal ya MUNGU kumeharibu watu yaani siku hizi MTU ANAFUNGA NDOA TAARI ANA WATOTO WA3 aaaaah hii ndoa gani hii yaani watoto ndo mamaids kwenye harusi ya wazazi wao LAANA HII........
WATOTO wanaozaliwa kabla ya NDOA ni WATOTO WALIOPATIKANA KWA UZINZI!!!!!!!! wooote......ni watoto wa uzinzi na uasherati ndiyo maana roho ya uzinzi imetanda ndani ya watu............PRINCIPLE YA BWANA IMEVUNJWA HAPA............Najua wengi sana hii inawahusu nikiwemo mimi.......lakini BWANA ANASEMA MTOTO HATABEBA DHAMBI YA BABA YAKE AU MAMA YAKE wala MZAZI hatabeba dhambi ya mwanae UNA NAFASI KAMA MTOTO YA KUTENGENEZA NA MUNGU ILI UTAKASWE kwa maana KWA YESU tumefanyika WANA WA MUNGU kazi yetu ni kujiconnect na hii NEEMA ILI TUWE WANA WA MUNGU KWELIKWELI WATAKATIFU KAMA BABA YETU ALIVYO MTAKATIFU.............Hii ni neema imekukuta hapo ulipo TATIZO WATU WANAJIFANYA KUPOTEZEA wakati wanajua kabisa........
MAMBO YA MUNGU YANAYOJULIKANA yamekuwa DHAHIRI ndani yetu sote maana MUNGU AMETUDHIHIRISHIA na yale yasiyojulikana tangu kuumbwa kwa ulimwengu YANAFAHAMIKA NA KUONEKANA kwa kazi zake YAANI UWEZA WA MUNGU WA MILELE NA UUNGU WAKE.........sasa hapo huna udhuru wala huna cha kujitetea MUABUDU MUNGU NA KUMSHUKURU KWA KUWA UNAMJUA TAYARI au upotee katika uzushi wako na MOYO WAKO ULIOJAA UJINGA na kutiwa giza na SHETANI..............JESUS CALLS U uliyerudi nyuma ktk WOKOVU RUDI ZIZINI nawe uliye nje bado INGIA SASA its ur time to make with JESUS maana HATA MATEKA HALALI WA SHETANI ANAWEZA KUOKOLEWA its only u to decide......MEDITATE IN THE WORD OF GOD DAY AND NIGHT and whatever ur doing shall PROSPER.........GOD BLESS YOU

campas night chapter IV chimwaga hall- SEHEMU B

NA KABELEGE


HALLELUYAH

Napenda kukukaribisha rasmi kwenye blog hii itakayo kuletea matukio yote ya kiroho yanayoendelea DODOMA,


Pia tunakaribisha wewe mwenye ujumbe wa neno la MUNGU kuuleta ili injili ihubiliwe kwa njia ya mtandao.


zaburi 20:7 

SEHEMU B YA

MATUKIO YA CAMPAS NIGHT CHAPTER 4







WATU WAKASIMAMA KUWAKARIBISHA THE WORSHIPERS FROM ARUSHAAAA




Team nzima ya ze worshipers on the stage



MAMA ABERDNEGO AKIFANYA ANVERSARY YA NDOA YAKE NA MUMEWE


ZE BLOGER AKASIMAMA NA KUIMBA WIMBO PAMOJA NA ZE WORSHIPERS WE LOVE YOU JESUS




(KWA MATUKIO ZAIDI USIKOSE SEHEMU C HAPO KESHO)

Monday 24 November 2014

 Monday, 24 November 2014

FAIDA ZA KUSUBIRI

Ipo siri kubwa ktk kusubiri hadi Bwana atakapokufungulia madilisha ya hitaji lako. Mimi nimejifunza kusubiri na nimeona matokeo yake kwa sehemu kubwa.
 FAIDA ZA KUSUBIRI
 1: Kunakupa jibu sahihi ambalo si shotcut.... Jaman hata iman ndani yake kuna taraji tena ya kitu kiaichoonekana. JEHOVAH JIREH ,The lord will provide to you. Ukiomba kuwa na subira usitake kupokea muda huohuo. Kt ya silaha za mkristo ni IMANI(Efeso 6:16) kwan biblia inaaema ndio ngao yetu.
 2:KUURITHI UFALME WA MUNGU .. .. Luka 21:19 "nanyi kwa subira yenu mtaiponya nafsi zenu" KTK ulimwengu huu pasipo subira,lazma uanguke dhambini maana utalazmisha kupata kitu pasna mpango wa MUNGU. 
 3:UTAKWENDA SAWA NA KUSIDI LA MUNGU.... Ndugu Mungu ana saa na majira yake ya kukupatia jibu lako na hii inakusudi na amekuangalia wewe yamkini akikupa utashindwa kumtumikia. 
Yamkin ni kijana unata kuoa lakini kila ukitafuta mke kabla ya ndoa anskukataa ujue kuna kusudi,subiri yupo wa kwako...mhubiri 3:1
 USHUHUDA
 Kuna mama mmoja alikuwa mwalimu wa shule ya msingi.Awali mama huyu alikuwa mkristo wa mazoea. Lakini baada ya kuokoka Mungu akampa karama ya imani 1kornt 12:9 . Hapo ndipo Mungu aliporuhusu majaribu kwa mama huyu. Kwanza alianza kuumwa mguu kwa muda mrefu akipima tatzo halionekani. Ndugu wakamshauri amwache bwana aende kwa waganga wa kienyeji kama AYUBU. Akasema ikiwa MUNGU ameyaruhusu yanipate yatanitoka haya. Mungu akamponya baada ya mwaka. Jaribu hilo lilipomwacha, mama huyu akapata taarifa ya kuzimia zimia mwanae aliyekuwa anasoma kidato cha 5 IFUNDA. Alimwomba Mungu akajibu na sasa anaamani ya kidumu na kuutegemea uzima wa milele kwani mambo yote ni sawasawa
. MWISHO TUTAVUNA SANA ROHONI NA MWILINI TUSIPO ZIMIA ROHO
 PRINTED & ISSUED BY KABELEGE JR

campas night chapter IV chimwaga hall-SEHEMU A

NA KABELEGE

HALLELUYAH
Napenda kukukaribisha rasmi kwenye blog hii mpya itakayo kuletea matukio yote ya kiroho yanayoendelea DODOMA,
KINGDOM BRINGERS
Pia tunakaribisha wewe mwenye ujumbe wa neno la MUNGU kuuleta ili injili ihubiliwe kwa njia ya mtandao.

zaburi 20:7 

SEHEMU A YA
MATUKIO YA CAMPAS NIGHT CHAPTER 4


UKUMBI  B4 ZE EVENT

MASS CHOIR SINGERS (stanley bayo,shadrac projes wakienda back stage kuwear
wadau 3 wa nguvu wa blog da jane,linah na diana kutoka COED UDOM nje ya ukumbi
  
mgeni rasmi na kamati ya tukio ikiwa meza kuu 
DR REHEMA NCHIMBI,PASTOR DR OLE
KING CHAVALA MC ON THE STAGE KWA KUIANZA KAZI






K
MEZA KUU IKASMAMA KUWAPOKEA MASS CHOIR


 SHEDRAK PROJES AND DA RETISIA
 ON THE STAGE WITH MASS CHOIR
WAKIIMBA DODOMA SONG

 TABITHA AKIIBA THEME SONG -INUKENI ENYI MALANGO



MC KING CHAVALA NA BLOGGER KABELEGE


BLOGGER AKIJIPUMZISHA KUMSIKILIZA   MGENI RASMI







DODOMA CAMPAS NIGHT CHAPTER IV 2014-2015



SHALOOM
Mpendwa msomaji leo nakuletea shuhuda ya PASTOR CASEN from ZAMBIA.
ALIYEHUBIRI katika mkesha wa  DODOMA NIGHT CAMPAS-INUKENI ENYI MALANGO...........

(PASTOR CASEN aliyeshika kidevu)
Katika maisha yake amefanya kila baya ambalo ni chukizo kwa MUNGU,, alipokuwa kijana mdogo wa miaka 10's alianza kunywa POMBE huku akiichanganya na SUKARI kwenye kikombe. Siku zilivyozidi sogea akaanza tumia kiliba kizima yaan lita moja ya CHIBUKU na kuendelea. hatimaye akawa mlevi wa kutupa.
Kwa kuwa alikosa upendo wa wazazi wake walipotengana akiwa mdogo sana alianza kutafuta watu mbadala wa kuchukua nafasi ya upendo wa wazazi wake na si mwingine ila girl friend. Awal aliamini mahusiano hayo yatakuwa ya barua tu, baadae wakaendelea kutembea mita moja bila hata kugusana kwa kuwa alichohitaji ni kutiwa moyo tu.. kwa kuwa kawaida huzaa desturi mara wakaanza kushkana mikono, mara kula pamoja mwishowe wakadondoka dhambini.

Baada ya mahusiano hayo yaliyotawaliwa na dhambi kuvunjika akaanza kutafuta mabinti tofauti kukidhi haja za moyo wake kwani ufahamu na akili yake ilikamatwa na pepo la UZINZI. Mtaani alijulikana kwa kuwa na kila msichana kimahusiano.

Kama ilivyo desturi kwa mtu achovyaye kumaliza buyu la asali baba huyu alianza kuvuta SIGARA kama SM, punde si punde akaanza tumia BANGE.

Akiwa na mahusiano na mke aliyemuoa alishawa kushirikiana na mkewe kutoa MIMBA nne za mkewe kabla ya kuoana

Tisa kumi, alipoanza kwenda disco alikuwa mtazamaji tu, lakini ghafla akaanza kutikisa mguu akienda disco, ghafla akaanza kuingia kwenye mashndano ya wacheza disco huko ZAMBIA.

SIKU MOJA AKIWA UKUMBI WA STAREHE akizungukwa na kila aina ya uasi AKASIKIA SAUTI YA MUNGU AKISEMA "UKIENDELEA HIVI UTAKUFA, SASA NIFUATE UITANGAZE INJILI" Kwa sasa pastor huyu ni mtumishi mkubwa wa MUNGU wa ndani na nje ya nchi. Hata mm blogger nimemuona akihubiri katika DODOMA CAMPAS NIGHT IV.

sikiliza msomaji wa makala hii, ukianza kumruhusu ibilisi katika uchache jua pia atajitukuza kwako katika wingi....biblia inasema usimpe ibilisi nafasi kabisa kwa kuwa akiingia kwako anaua, anaiba na kunyonga.
 JAMANI SISI TU MVUKE MUDA WOWOTE UNAYEYUKA TUTUBU......YAKOBO 4:13-14